Seksheni hii ina lengo la kuziwezesha Seksheni nyingine kutimiza majukumu yake, kutoa utaalamu na huduma mbalimbali zinazohusiana na usimamizi wa Rasilimaliwatu na Utawala kwenye Halmashauri. Seksheni hii inaongozwa na Afisa Mkuu wa Idara na Utumishi ambaye anawajibika kwa Mkurugenzi Mtendaji Wilaya.
Idara hii ina shughulika na mambo yafuatayo:-
Lugoba Chalinze
Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze
Simu: +255232935403
Simu ya mkononi:
Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz
Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.