• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

JINSI YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Leseni ya biashara ni kibali ambacho hutolewa na mamlaka husika kwa mfanyabiashara au mtoa huduma.

Leseni za biashara hutolewa na wakala wa usajili wa biashara na leseni (brela), halmashauri za manispaa, halmashauri za majiji, halmashauri za miji na halmashauri za wilaya kwa kuzingatia kundi la leseni inayotolewa.

Leseni za biashara zimegawanyika katika makundi mawili A na B.

katika kundi A kuna biashara ambazo leseni zake hutolewa na wakala wa biashara na leseni (brela).kundi hili ni leseni  zenye mtaji mkubwa  zinazojumuisha leseni za uuzaji wa bidhaa nje ya nchi, huduma za mawasiliano, bandari, vilabu vya usiku, sonara, uchimbaji madini, uuzaji na usambazaji silaha, vyombo vya habari, hoteli za kitalii, huduma za kifedha, taasis za kifedha na mitaji,bima n.k

katika kundi B ni leseni zinazotolewa na halmashauri za manispaa, halmashauri za majiji, halmashauri za miji na halmashauri za wilaya. Katika kundi  A kuna biashara za viwanda vidogo, hoteli zisizo za kitalii, vyama vya ushirika, makumpuni ya ujenzi, taaluma muhimu, zahanati, maduka ya dawa muhimu za binadamu, pembejeo za kilimo, migahawa,kalakana, uandishi wa vitabu na magazeti, vituo vya mafuta, spea mbalimbali, shule za binafsi, minada, pembejeo za kilimo, wahandisi wa umeme, maduka ya kuuza bidhaa kwa jumla na reja reja n.k

Biashara za kundi B leseni zake hutolewa na halmashauri ya eneo husika ambapo biashara inafanyika

Utoaji wa leseni za biashara unazingatia kifungu cha 11(1) cha sheria ya leseni za biashara namba 25 ya mwaka 1972 na marekebisho yake

Gharama za leseni hubadilika mara kwa mara kulingana na inavyopendekezwa na mamlaka husika.

Kufanya biashara bila leseni ni kosa kisheria hivyo ni vyema kuchukua hatua za kurasimisha biashara yako kisheria

Maombi ya leseni ya biashara

Ili kupata leseni ya biashara muombaji:-

  • Kujaza fomu ya maombi ya biashara ambayo hupatikana katika halmashauri husika
  • Kuhakikisha nyaraka zote muhimu zinazohitajika ili kuweza kupata leseni yako mapema. Nyaraka hizo ni kama vile
  • Hati ya utakaso wa mlipa kodi (tax clearance certificate) kutoka TRA
  • Cheti cha usajili wa kampuni, katiba ya kampuni. (kwa leseni za   makampuni)
  • Mkataba wa kodi ya pango kama sehemu ya biashara umepanga
  • Namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN)
  • Vyeti kutoka katika mamlaka husika kama TCRA(kwa leseni za mawasiliano),TFDA na TBS (kwa  vyakula na dawa), EWURA (kwa uagizaji na usambazaji mafuta)

Nyaraka zote zinazo hitajika ziambatanishwe pamoja na fomu ya maombi

  • Baada ya kukamilisha nyaraka zote mteja atapewa bili (invoice)kulingana na aina ya biashara yake na kwenda kulipia benki
  • Mchakato hukamilishwa kwa mteja kuchukua leseni yake na kupewa maelezo/ elimu ya uendeshaji biashara

Kumbuka

  • leseni ya biashara hulipwa kila baada ya mwaka mmoja toka siku imelipiwa.
  • Leseni ya biashara lazima itumike kwa biashara na mahali ilipoombwa tu
  • Mfanyabiashara mmoja anaweza kuwa na leseni zaidi ya moja kulingana na idadi ya biashara alizonazo
  • Viwango vya kulipia leseni ya biashara unaweza kuvipata mtandaoni kwa kutafuta sheria ya fedha na 2 ya mwaka 2014 (finance Act no. 2 of 2014)

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango chafanya kikao kujadili mapato na matumizi kwa mwezi Aprili 2025.

    May 31, 2025
  • Maafisa Habari watakiwa kuitangaza miradi ya serikali

    May 30, 2025
  • Halmashauri ya Chalinze yatembelewa na wawekezaji wa nyumba

    May 29, 2025
  • Kampeni ya "Ni rahisi sana"yatoa Elimu kuhushu usalama Mtandaoni Chalinze

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.