• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Chezea Mshahara Usichezee Kazi-Mwanjelwa

Imewekwa: February 24th, 2019




“Chezea mshahara usichezee kazi“kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Waziri ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Dkt Mary Mwanjelwa alipokuwa katika kikao alichofanya na watumishi wa Umma katika halmashauri ya Wilaya ya Chalinze,Naibu waziri katika hotuba yake iliyokuwa imesheheni maadili kwa misingi ya kuwafunda watumishi wa kada mbalimbali katika halmashauri hiyo.

   Mwanjelwa katika hotuba yake iliyochukua takribani muda wa dakika 57 aliwataka watumishi wa Umma nchini kuzingatia sheria,taratibu na kanuni katika utekelezaji wa majukumu yao bila upendeleo wowote,kwa kuwataka wakuu wa idara katika Mamlaka za serikali za mitaa kuwaongoza wasaidizi wao kwa mujibu sheria na kuondokana na utendaji wa mazoea usiokuwa na tija na kuwapa tahadhari endapo watashindwa kuwasimamia waliochini yao watawajibika kwa mujibu wa sheria maana wao ndiyo wamepewa dhamana ya kuongoza.

   Kwa upande wa wasaidizi katika kada mbalimbali,Naibu waziri aliwataka kuheshimu na kutekeleza maelekezo ya viongozi wao pasipo kusukumwa kwa mujibu wa sheria za Utumishi wa Umma.

    Aidha Mwanjelwa aliwaonya wakuu wa idara kuondokana na kasumba za kujikweza na kujiinua ili kuwakandamiza wasaidizi wao katika kazi kukemea tabia ya "Kujimwambafy" au kujikweza kinyume na sheria za Utumishi wa Umma ili kuwanyanyasa na kuwakandamiza watumishi wa Chini na ikibainika kuna tabia kama hiyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya Kiongozi huyo." Chezea Mshahara usichezee kazi"Mwanjelwa alisisitiza“.

    Kwa upande wa Madiwani kama wasimamizi Wa halmashauri Naibu waziri aliwataka kuzingatia sheria taratibu na kanuni katika maamuzi mbalimbali wanayoyafanya kwa upande wa watumishi na kutenda haki pasipo uonevu,hivyo maamuzi yafanyike kwa mujibu wa sheria na si vinginevyo.

     Katika kikao hicho kilichofurika watumishi wa kada mbalimbali Naibu waziri alizungumzia stahiki mbalimbali za watumishi wa Umma na kuwataka waajiri kushughulikia maslahi ya watumishi kwa umakini kwa kuziandaa nyaraka za watumishi kwa usahihi pasipo kukosea kabla ya kuzituma menejimenti ya Utumishi wa Umma."Nyaraka zikiandaliwa kwa usahihi menejimenti ya Utumishi wa Umma haichelewi kutekeleza, hIvyo waajiri andaeni taratibu za watumishi kwa usahihi ili stahiki zao zisipotee“Mwanjelwa alifafanua.

     Mwisho naibu Waziri aliwataka watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Chalinze kuwa wazalendo na waadilifu kwani serikali ya awamu ya tano chini Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ni ya uadilifu na si vinginevyo, chezea mshahara usichezee kazi.





Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.