• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Kikao Kazi cha Maafisa Elimu Kata na walimu wakuu chafanyika Chalinze

Imewekwa: January 16th, 2023


Kikao kazi cha walimu wakuu wa Shule za Msingi na Maafisa Elimu Kata kimefanyika leo katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Lugoba,kikao kazi hicho kimehusisha Maafisa Elimu Msingi,Wathibiti Ubora wa Elimu na Chama cha Walimu. Kikao kazi hicho kimezinduliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze,Bwana Ramadhani Possi.


Katika kikao kazi hicho kimefanyika kwa malengo ya kufanya tathmini ya masuala mbalimbali ya Elimu sanjari na kufanya tathmini ya matokeo ya wanafunzi wa darasa la nne kitaifa kwa mtihani uliofanyika Mwaka jana, ujazaji wa mikataba ya utekelezaji wa Majukumu ya ufundishaji.


Katika hotuba yake ya ufunguzi wa kikao kazi hicho,Mkurugenzi alianza kikao kazi hicho kwa kuwatambua na kuwapongeza Maafisa Elimu Kata na Walimu wakuu kwa uandikishaji wa wanafunzi wa Elimu awali na darasa la kwanza kwa kuandikisha wanafunzi zaidi ya asilimia mia moja. Pamoja na kuwapongeza walimu hao aliwataka kuendelea kuhamasisha suala la wanafunzi kuripoti kwa wakati na kutokana na uandikishaji.


Baada ya uzinduzi wa kikao kazi hicho Mkurugenzi aliwasainisha Maafisa Elimu na walimu mikataba ya utendaji kazi kama kiashiria cha utekelezaji wa Majukumu (Key Performance Indicators) kwa kila Mwalimu . Kwa mikataba hiyo kila Mwalimu atapimwa kulingana na mkataba wake na Majukumu yake.,


Aidha Mkurugenzi Mtendaji baada ya kumaliza zoezi la kusainisha mikataba aliweza kugawa Vishikwambi zaidi ya 600 kwa walimu wa Shule za Msingi katika Halmashauri ya wilaya ya Chalinze vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya kuboresha tendo la kujifunza kwa walimu na wanafunzi.


Naye Afisa Elimu Awali na Msingi wa Halmashauri ya Chalinze Mwalimu Miriam Kihiyo alimshukuru Mkurugenzi kwa kazi zote alizozifanya katika kikao kazi hicho na kuahidi kuyafanyia kazi maelekezo yote ya Serikali ili kuinua kiwango cha ufaulu katika Halmashauri ya Chalinze,sanjari na kusimamia utekelezaji wa mikataba kwa walimu na Maafisa Elimu kata ili kufikia malengo ya Serikali kutokana na mkataba wa utendaji kazi.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.