• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Mpwimbwi achaguliwa kuwa Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze

Imewekwa: August 26th, 2022


Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze katika Mkutano wake wa kufunga mwaka limemchagua  Mheshimiwa Juma Mpwimbwi,Diwani wa kata ya Miono kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri kwa kupata kura 21 za ndiyo sawa na asilimia miamoja (100%) ya kura zote zilizopigwa. Uchaguzi huo ulifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete alimarufu kama “KIKWETE HALL”.

Baada ya Uchaguzi wa Makamu mwenyekiti wa Halmashauri kukamilika Mwenyekiti wa Halmashauri alifanya uteuzi wa wajumbe mbalimbali wa kamati za kudumu za Huduma za jamii,Uchumi,Ujenzi na Mazingira,Kamati ya Maadili,Kamati ya kudhibiti UKIMWI na Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango.

Mwenyekiti wa Halmashauri baada ya kukamilisha uteuzi wa wajumbe wa kamati mbalimbali aliwapa fursa wajumbe hao kukaa kama kamati na kuchagua wenyeviti wao kwa kila kamati.

Wajumbe wa kamati ya Afya,Elimu na Maji walimchagua Mheshimiwa Selestini Semiono,Diwani wa Kata ya Msata kuwa Mwenyekiti wa kamati hiyo kwa mwaka 2022/2023.

Wajumbe wa kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira walimchagua Mheshimiwa Mussa Gama,Diwani wa kata ya Vigwaza kuwa Mwenyekiti wa kamati hiyo kwa mwaka 2022/2023.

Nayo kamati ya Maadili ilimchagua Mheshimiwa Mwanakessi Madega kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo kwa mwaka 2022/2023.

Kwa upande wake Makamu mwenyekiti,Juma Mpwimbwi aliwashukuru Madiwani kwa kumwani na kumchagua kwa kura nyingi na kuahidi kuilinda imani kwa kuwatumikia wanachalinze kwa uadilifu mkubwa na kuahidi kumsaidia mwenyekiti katika utekelezaji wa Majukumu mbalimbali kwa maslahi ya wanachalinze 

“Nitasimamia maslahi ya madiwani na kuwa kiungo kati ya madiwani na wataalam sanjari na kuhakikisha Madiwani wanakuwa na bima za afya.” Mpwimbwi alisema.

Alimalizia kwa kuwataka Madiwani na watendaji kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwaletea Maendeleo wanachalinze na watanzania kwa ujumla.

                                 Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira katika picha ya Pamoja

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.