• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Tambueni na Kuthamini Michango ya Wadau wa Maendeleo-Zikatimu

Imewekwa: November 2nd, 2018


Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Chalinze,Mheshimiwa Saidi Zikatimu,amevitaka vijiji kutambua michango mbalimbali ya wadau katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya halmashauri ya Chalinze,agizo hilo amelitoa leo katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya Serikali ya kijiji cha Tonga katika kata ya Msoga.


Ofisi ya serikali hiyo ya kijiji imejengwa kwa ushirikiano wa halmashauri ya wilaya,kijiji na wadau mbalimbali wa maendeleo katika halmashauri na kugharimu jumla ya fedha za kitanzania milioni 25.1.


Katika hotuba yake ya ufunguzi wa ofisi hiyo Zikatimu amewapongeza viongozi wa serikali ya kijiji cha Tonga kwa kuwatambua wadau waliochangia katika ujenzi wa ofisi ya kijiji na kuwataka viongozi wa vijiji vingine wilayani humo kuendelea kuwatambua na kuwashukuru kwa jitihada wanazozifanya wadau katika utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi.


Aidha Zikatimu katika hotuba yake ya ufunguzi wa ofisi ya kijiji aliwataka vijana na wanawake kujiunga katika vikundi na kupata mikopo kutoka mfuko wa vijana na wanawake unaotokana na mapato ya halmashauri."Halmashauri tunazo pesa kwa ajili ya kuwakopesha vijana bila riba tunatekeleza ilani kwa vitendo karibuni tuijenge nchi kwa pamoja."


Aliendelea kuwashukuru wadau mbalimbali wa maendeleo wanaojishughulisha na utatuzi wa kero mbalimbali kwa kuipongeza kampuni ya SAYONA Fruits ambayo imekuwa ikiisaidia halmashauri ya wilaya katika kuboresha huduma za jamii kwa kukamilisha ujenzi wa jengo la maabara na nyumba ya mganga katika kijiji cha Mboga.


Mwenyekiti wa halmashauri aliwataka wananchi kuitumia ardhi na siyo kumiliki ardhi pasipo kuiendeleza na kwa wanaomiliki ardhi bila kuiendeleza serikali itachukua hatua ikiwa ni pamoja kuichukua ardhi hiyo na kuirejesha kwa wananchi ili itumike kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni na si vinginevyo.


Hata hivyo Diwani wa kata hiyo Hassani Mwinyikondo aliwapongeza wananchi wa kijiji cha Tonga kwa kujitoa kujenga ofisi nzuri na ya kisasa na hii ni namna ya kuboresha miundombinu katika sekta ya utawala bora na kuvitaka vijiji vyote ndani ya kata ya Msoga kuanzisha ujenzi wa ofisi za serikali za vijiji ili utoaji huduma kwa wananchi uwe na tija.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.