• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Tekelezeni Majukumu kwa mujibu wa miongozo ya lishe

Imewekwa: March 1st, 2023


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze Bwana Ramadhani Possi,ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Lishe ya Halmashauri amewataka wakuu wa Idara na Vitengo ambao ni wajumbe wa kamati Halmashauri ya Chalinze kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia miongozo ya lishe.


Wito huo ameutoa leo katika kikao cha kamati ya lishe wilaya kwa robo ya pili ya mwaka 2022/2023 kilicho katika Ukumbi wa Masafa wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze na kuhudhuriwa na wajumbe wote kwa mujibu wa mwongozo wa lishe.


Wakuu wa Idara wakiwasilisha taarifa zao za utekelezaji kwa robo ya pili,Mwenyekiti wa kikao aliwataka wajumbe kuchukua hatua za haraka katika kuhakikisha wanafunzi wote wa Shule zaMsingi zipatazo 108 wanapata chakula cha mchana shuleni hali itakayowafanya wanafunzi katika Halmashauri ya Chalinze kuinua kiwango cha ufaulu na kupambana na utapia moo unaoweza kusababishwa na lishe duni.


Aidha wajumbe kwa pamoja walikubaliana kutoa Elimu kwa umma ili dhana halisi ya lishe iweze kutekelezwa kwa vitendo katika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze sanjari na kutoa Elimu ya ujasiriamali kama mpango wa muda mrefu katika kuboresha suala zima la lishe shuleni na wananchi kwa ujumla.

Matangazo

  • ELIMU KWA UMMA October 05, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Chalinze inatekeleza agizo la serikali kwa kuendelea kutoa Chakula shuleni

    March 10, 2023
  • Halmashauri tatu za mkoa wa Pwani zashiriki kikao cha mradi wa Kwala

    March 06, 2023
  • TEMESA yatakiwa kutekeleza majukumu yake kwa kuwashirikisha wananchi

    March 03, 2023
  • TEMESA yatakiwa kutekeleza majukumu yake kwa kuwashirikisha wananchi

    March 03, 2023
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • Mfumo wa Bajeti
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.