• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Elimu msingi
      • Elimu secondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Waziri Aweso azitaka Mamlaka za Maji nchini Kuwaunganishia Wananchi Maji ndani ya Siku Saba

Imewekwa: March 19th, 2022

WAZIRI wa Maji Juma Aweso ametoa maelekezo kwa Mamlaka za maji  nchini kuhakikisha wanawaunganishia maji wananchi wanaoomba ndani ya siku saba.


Awesome alitoa maelekezo hayo leo wakati kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji ilipofanya ziara ya kukagua miradi katika Halmashauri ya Chalinze wilaya ya Bagamoyo.


"Hatutaki kusikia mwananchi ameomba kuunganishiwa maji anakaa miezi sita bila kupata huduma hiyo kuanzia sasa anayeomba huduma hiyo isizidi siku saba awe ameunganishiwa" alisema.


Aidha alisema hatapenda kusikia mtendaji wa chini anawagombanisha na wananchi wanaohitaji kuunganishiwa maji kwa muda na badala yake kuchukua muda mrefu kufanya kazi hiyo.


Awesome pia alielekeza watu wenye madeni sugu ya bili za maji kufika kwenye mamlaka  za maji wakubaliane walipe kidogokidogo wakati huo wakiwa wameunganishiwa maji.


Aliiahidi kamati hiyo kufanyia kazi ushauri wanaoutoa huku akisema kuwa Mamlaka ya maji Vijijini na Mijini (RUWASA)  haitakuwa kikwazo katika utekelezaji wa miradi.


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Dkt Christine Ishengoma aliipongeza Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salam (DAWASA) kwa namna wanavyopambana kufikisha huduma ya maji kwa wananchi.


Dkt Ishengoma alisema ipo mikoa ambayo ina mgawo wa maji tofauti na mkoa huo wa Pwani ambao kikwazo hicho hakipo na Mamlaja zinafanya kazi nzuri katika miradi inayotekelezwa..


Katibu Mkuu wa wizara ya Maji Anton Sanga aliipongeza Dawasa kwa kuonyesha kwa vitendo thamani ya fedha kwenye miradi ambapo aliendelea kusisitiza wananchi kuunganishiwa mani.


Mtendaji  mkuu wa DAWASA Cyprian Luhemeja alisema watatatekeleza maagizo yaliyotolewa na Waziri wa maji ya kuwarejeshea maji wenye madeni sugu ili wakati wanalipa madeni yao pamoja na kuwaunganishia maji


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge alisema kuwa kwasasa maji yanapatikana kwa asilimia 80 na kwamba lengo ni kufikia asilimia 95 kwa mjini na Vijiji 84.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi Ajira za kudumu May 25, 2022
  • TANGAZO LA MAUZO YA VIWANJA November 12, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze na Shirika la STANDING VOICE zaendesha Kliniki kwa watu wenye ulemavu wa ngozi.

    July 02, 2022
  • Halmashauri ya Chalinze yaadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na shirika la PASADA.

    June 17, 2022
  • Baraza Maalum la kujadili hoja za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali lafanyika Chalinze

    June 16, 2022
  • Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI),Halmashauri ya Chalinze zashirikiana kutoa huduma ya Matibabu ya Moyo bila Malipo

    June 08, 2022
  • Tazama zote

Video

Waziri OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo akihimiza ukusanyaji Mapato kwenye mamlaka za serikali za Mitaa
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • Mfumo wa Bajeti
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.