• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Waziri Aweso azitaka Mamlaka za Maji nchini Kuwaunganishia Wananchi Maji ndani ya Siku Saba

Imewekwa: March 19th, 2022

WAZIRI wa Maji Juma Aweso ametoa maelekezo kwa Mamlaka za maji  nchini kuhakikisha wanawaunganishia maji wananchi wanaoomba ndani ya siku saba.


Awesome alitoa maelekezo hayo leo wakati kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji ilipofanya ziara ya kukagua miradi katika Halmashauri ya Chalinze wilaya ya Bagamoyo.


"Hatutaki kusikia mwananchi ameomba kuunganishiwa maji anakaa miezi sita bila kupata huduma hiyo kuanzia sasa anayeomba huduma hiyo isizidi siku saba awe ameunganishiwa" alisema.


Aidha alisema hatapenda kusikia mtendaji wa chini anawagombanisha na wananchi wanaohitaji kuunganishiwa maji kwa muda na badala yake kuchukua muda mrefu kufanya kazi hiyo.


Awesome pia alielekeza watu wenye madeni sugu ya bili za maji kufika kwenye mamlaka  za maji wakubaliane walipe kidogokidogo wakati huo wakiwa wameunganishiwa maji.


Aliiahidi kamati hiyo kufanyia kazi ushauri wanaoutoa huku akisema kuwa Mamlaka ya maji Vijijini na Mijini (RUWASA)  haitakuwa kikwazo katika utekelezaji wa miradi.


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Dkt Christine Ishengoma aliipongeza Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salam (DAWASA) kwa namna wanavyopambana kufikisha huduma ya maji kwa wananchi.


Dkt Ishengoma alisema ipo mikoa ambayo ina mgawo wa maji tofauti na mkoa huo wa Pwani ambao kikwazo hicho hakipo na Mamlaja zinafanya kazi nzuri katika miradi inayotekelezwa..


Katibu Mkuu wa wizara ya Maji Anton Sanga aliipongeza Dawasa kwa kuonyesha kwa vitendo thamani ya fedha kwenye miradi ambapo aliendelea kusisitiza wananchi kuunganishiwa mani.


Mtendaji  mkuu wa DAWASA Cyprian Luhemeja alisema watatatekeleza maagizo yaliyotolewa na Waziri wa maji ya kuwarejeshea maji wenye madeni sugu ili wakati wanalipa madeni yao pamoja na kuwaunganishia maji


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge alisema kuwa kwasasa maji yanapatikana kwa asilimia 80 na kwamba lengo ni kufikia asilimia 95 kwa mjini na Vijiji 84.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.