• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Elimu msingi
      • Elimu secondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Bagamoyo Yaridhia Chalinze kuwa Wilaya.

Imewekwa: December 19th, 2020

Kikao cha Kamati ya Ushauri wilaya ya Bagamoyo(DCC) kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze chini Uenyekiti wa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Bi Zainabu Rashid Kawawa kimeridhia kwa kauli moja Halmashauri ya Chalinze ipandishwe hadhi na kuwa Wilaya.

Katika kikao hicho kilichojumuisha wajumbe kutoka Halmashauri zote mbili za Bagamoyo na Chalinze, Wenyeviti wa Halmashauri,wakuu wa Idara, Maafisa Tarafa, Kamati ya Ulinzi na Usalama na wabunge wote wa majimbo ya Chalinze, Bagamoyo na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Pwani Mheshimiwa Subira Mgalu.

Katika Kikao hicho wajumbe walipitisha ajenda na kusisitiza mipaka ya Halmashauri ya Chalinze ndiyo itakayozingatiwa katika kuipandisha hadhi Halmashauri hiyo na kuwa Wilaya


Kwa upande wake Mheshimiwa Subira Mgalu aliwataka wajumbe wenzake kupitisha suala hili pasipo kuchelewa na hakuna sababu ya kuchelewesha kwani mipaka iko wazi na haina mgogoro wowote.


Baada ya mjadala wa muda mrefu Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Bi Zainabu Kawawa aliwahoji wajumbe kwa pamoja kama wanaridhia hoja hiyo kwa pamoja waliitika ndiyooo.


Aidha Mheshimiwa Kawawa katika hotuba yake ya kufunga kikao aliwataka Watumishi kufanya kazi kwa bidii katika kuwatumikia watanzania na kusisitiza ukusanyaji wa Halmashauri katika Halmashauri zote mbili yaani Bagamoyo na Chalinze.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE CSEE 2018 January 24, 2019
  • TANGAZO LA MKUTANO WA BALAZA LA MADIWANI ROBO YA NNE August 28, 2019
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA PWANI December 18, 2018
  • TANGAZO LA KUSITISHWA KWA UHAMISHO August 31, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Madiwani Yatolewa Chalinze

    December 21, 2020
  • Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Bagamoyo Yaridhia Chalinze kuwa Wilaya.

    December 19, 2020
  • Madiwani waridhia Kuanzishwa Wilaya Mpya ya Chalinze

    December 18, 2020
  • Baraza la Madiwani Chalinze Limezinduliwa

    December 18, 2020
  • Tazama zote

Video

Waziri OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo akihimiza ukusanyaji Mapato kwenye mamlaka za serikali za Mitaa
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • Mfumo wa Bajeti
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2015/2016
  • WAZO LA WAZIRI
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • JINSI YA KUJISAJILI NA KUPATA NAMBA YA MLIPA KODI (TIN NAMBA)

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lugoba Chalinze

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.