• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Lishe kujadili taarifa ya Utekelezaji robo ya nne.

Imewekwa: July 21st, 2023


Kamati ya lishe ya halmashauri ya wilaya ya Chalinze chini ya Uenyekiti wa Mkurugenzi Mtendaji Bwana Ramadhani Possi imekaa na kujadili taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe katika robo ya nne kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete.


Katika kikao hicho wakuu wa Divisheni na taasisi mbalimbali zinazoshughulika na masuala ya lishe wamewasilisha taarifa zao za utekelezaji kwa robo ya nne na kujadiliwa na kamati. Divisheni zilizowasilisha taarifa ya utekelezaji ni Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi,Divisheni ya maendeleo ya Jamii,Divisheni ya Elimu ya awali na msingi,Divisheni ya Elimu Msingi,Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe,RUWASA na DAWASA.


Pamoja na wajumbe kupokea taarifa za utekelezaji na kujadili taarifa hizo moja baada ya nyingine wajumbe walitaka taarifa hizo ziwe na takwimu kwa shughuli inayofanyika ili kupata uhalisia wa utekelezaji wa majukumu ya lishe sambamba na utekelezaji wa mkataba wa lishe kwa kila ngazi.


Aidha Afisa Lishe wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze Bi.Zainabu Waziri aliwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe ngazi ya Kata,Vijiji na Vitongoji,akiwasilisha taarifa hiyo Bi. Waziri alibainisha mafanikio katika shughuli za lishe ni pamoja na kutoa elimu ya lishe kwa vitendo ngazi ya kaya,vitongoji,vijiji na kata kwa kushirikiana na wahudumu wa afya ngazi ya Jamii.


Mafanikio mengine yaliyopatikana ni pamoja na watoto 83 waliobainika kuwa na utapiamlo mkali waliweza kupata matibabu,unasihi wa lishe pamoja na ufuatiliaji na hatimaye afya zao zimeimarika sanjari na upatikanaji wa maziwa kwa ajili ya matibabu ya watoto walioathirika na tatizo la utapiamlo kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri.


Akihitimisha kikao cha kamati ya lishe wilaya Mwenyekiti wa kamati hiyo Bwana Possi aliwataka watekelezaji wa mkataba huo kusimamia kwa bidii na weledi ili kufikia malengo ya mkataba wa lishe kwa ngazi ya Halmashauri.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.