• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Madiwani Yatolewa Chalinze

Imewekwa: December 21st, 2020

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze jana wameanza rasmi mafunzo ya kujengewa uwezo Baada ya kuwa wamekula kiapo cha Utii, mafunzo hayo yatafanyika kwa siku nne mfululizo.

Mafunzo hayo yametolewa na Wataalamu kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo. Wataalamu hao wameweza kuwajengea uwezo Madiwani katika mada mbalimbali za namna ya uendeshaji wa serikali Mitaa Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Madiwani wamewezeshwa katika Uongozi na Utawala Bora,Historia na Uhalali wa Serikali za Mitaa, Sheria za Uendeshaji wa Serikali za Mitaa, Kanuni Kuhusu Maadili ya Madiwani, Usimamizi wa Watumishi katika Serikali za Mitaa,Uibuaji,Upangaji na Usimamizi wa Mradi Shirikishi Katika Jamii, Usimamizi na Udhibiti wa Fedha Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Taratibu za Mikutano na Uendeshaji wa Serikali za Mitaa na Wajibu, Majukumu,Haki na Stahiki za Madiwani.


Aidha Katika mafunzo hayo Madiwani walifurahia mafunzo hayo na kuahidi kuyatumia maarifa waliyoyapata kwa maslahi ya wanachalinze na watanzania kwa ujumla.Waliomba mafunzo ya namna hii yawe endelevu ili kuwawezesha kufanya kazi kwa weledi na kwa kuzingatia sheria taratibu na kanuni,


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Geofrey Kamugisha kwa niaba ya Madiwani wenzake aliwashukuru wataalamu kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo kwa kuwajengea uwezo kupitia mada walizowasilisha."Kupitia mafunzo haya tumepata ufahamu wa kutosha juu ya Historia na Uhalali wa Serikali za Mitaa na namna ya Uendeshaji wa Serikali za Mitaa,"Kamugisha alisema.


Naye Diwani wa kata ya Msoga Mheshimiwa Hassan Mwinyikondo aliishukuru Halmashauri kwa kuandaa mafunzo hayo ambayo yamewapa mwanga kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Mamlaka za Serikali za Mitaa na kushauri ni vema Mafunzo haya yawe yanatolewa kwa pamoja yaani wataalamu na waheshimiwa Madiwani ili kujadili masuala mbalimbali na kuondoa misuguano katika utekelezaji wa majukumu.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.