• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Shirika la Doris Mollel Foundation lakabidhi vifaa tiba Hospitali ya Wilaya Chalinze

Imewekwa: July 28th, 2022

Shirika lisilo la kiserikali la Doris Mollel Foundation hii leo limekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya Tsh Mil.12 katika Hospitali ya Wilaya iliyopo Msoga ambapo vifaa hivyo vilivyokabidhiwa mbele ya Naibu Waziri wa Ardhi ,nyumba na maendeleo ya makazi  na pia Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Mhe. Ridhiwani Kikwete ni pamoja na Mashine tatu za kutolea au kufua hewa ya Oxygen.

Akizungumza mara baada ya makabidhiano hayo Mkurugenzi wa taasisi hiyo Bi.Doris Mollel ametoa pongezi kwa Mhe Rais wa Tanzania kwa kuweka mazingira bora ya taasisi hizo zisizo za Kiserikali kufanya kazi kwa ufanisi.

“Tunaishukuru sana Serikali na Rais wetu Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora kwa sisi mashirika yasio ya kiserikali ili tuweze kufanya vizuri na ndio maana tunashirikiana na Shirika la Kimarekani la Segal Family Foundation kutoa vifaa hivi na ndio maana hii leo tumeleta Mashine 3 za kutolea hewa ya Oksijeni (Oxygen) kwa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati yaani njiti zikiwa na  uwezo wa kuhudumia watoto wawili kwa kila mashine kwa wakati mmoja”. Amesema Bi Doris

Hata hivyo ameendelea kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze kwa jitihada za kutafuta na kuwakumbusha shirika lao kufika katika Hospitali ya Wilaya kuweza kuwahudumia wana Chalinze.

Aidha Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Allen Mlekwa amelishukuru Shirika la Doris Mollel Foundation kwa msaada walioipatia hospitali hiyo kwani vitasaidia upatikanaji wa huduma bora kwa watoto njiti.

“Kikubwa tunakushukuru kwa vifaa hivi kwani vimekuja wakati muafaka kwasababu tumeanzisha huduma na jengo la mama na mtoto hivyo basi tumepata vifaa  kutoka Serikali kuu lakini pia kwa msaada wa Mashine hizi imetusaidia kuweza kuwahudumia watoto watakaozaliwa kabla ya wakati.” Amesema Dkt. Mlekwa.

Aidha Naibu Waziri wa Ardhi ,nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete(mb) ametoa neno la shukrani kwaniaba ya wananchi wa Chalinze kwa Shirika hilo kwa msaada wa vifaa tiba kwani vitasaidia kuhudumia kundi la watoto watakaozaliwa kabla ya muda wao.

“Kwaniaba ya wanachalinze nikushukuru sana Mkurugenzi na taasisi yako kwa kujitolea na kwa msaada huu kwani Tanzania ni kubwa na ina maeneo mengi lakini ukaona kwa ulicho nacho uanze na Chalinze na msaada huu una maana kubwa sana hasa kwenye kundi linalokwenda kusaidiwa ambao ni watoto njiti kwanii kundi hili kwa Chalinze linatupa changamoto kwenye kuwalea mpaka kufikia wao kujitegemea hivyo basi kupitia msaada huu na misaada mingine uliotuahidi umetusadia kuimarisha na kuokoa afya na uhai wa watoto hao”. Amesema. Mhe Ridhiwani.

Aidha Mhe. Ridhiwani amemuahidi Mkurugenzi wa Doris Mollel Foundation kuwa atazifikisha salamu kwa Mheshimiwa Rais ili afahamu ni kwa jinsi gani ameamua kuwasaidia wana Chalinze na wananchi kwa ujumla kupitia taasisi yake.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango chafanya kikao kujadili mapato na matumizi kwa mwezi Aprili 2025.

    May 31, 2025
  • Maafisa Habari watakiwa kuitangaza miradi ya serikali

    May 30, 2025
  • Halmashauri ya Chalinze yatembelewa na wawekezaji wa nyumba

    May 29, 2025
  • Kampeni ya "Ni rahisi sana"yatoa Elimu kuhushu usalama Mtandaoni Chalinze

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.