• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • Maoni |
Chalinze  District Council
Chalinze  District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halimashauri
    • Idara
      • Divisheni ya Miundombinu,Maendeleo ya Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo Cha Fedha na Uhasibu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Utaalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Afya,Elimu na Maji
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Maadili
      • VVU/UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Shughuli za Maendeleo za Madiwani
      • Kata ya Bwilingu
      • Kata ya Kibindu
      • Kata ya Kimange
      • Kata Kiwangwa
      • Kata ya Lugoba
      • Kata ya Mandera
      • Kata ya Mbwewe
      • Kata ya Mkange
      • Kata ya Msata
      • Kata Msoga
      • Kata ya Pera
      • Kata ya Tarawanda
      • Kata ya Ubenazomozi
      • Kata ya Vigwaza
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Service Client Charter
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Hatua
    • Miongozo
    • MATANGAZO
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Wenyeviti wa Kamati za kudumu za Halmashauri watembelea maonesho ya nanenane

Imewekwa: August 4th, 2022

Wenyeviti wa kamati za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze wametembelea leo viwanja vya nanenane katika Manispaa ya Morogoro na kufika katika Banda la maonesho la Halmashauri ya Chalinze  na kujionea shughuli mbalimbali za uzalishaji kama kilimo cha mbogamboga,ufugaji wa Mifugo mbalimbali kama kuku,ng’ombe na mbuzi,pia wameweza kukakagua shughuli mbalimbali za wajasiriamali wanawake na vijana wanaokopeshwa na Halmashauri ya Chalinze.


Katika ziara hiyo wenyeviti wa kamati za Kudumu waliweza kujionea shughuli za wajasiriamali wanaozalisha sabuni,mafuta ya ngozi,ungalishe,unga wa mahindi wa sembe na dona,watengeneza vinyago na watengeneza batiki na mapambo mbalimbali ya nyumbani. 


Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Hassani Mwinyikondo alifurahishwa na shughuli zinazotekelezwa na Halmashauri ya Chalinze hususan katika sekta ya kilimo na mifugo na kuwataka wataalam katika sekta hizo kuyatekeleza mazuri hayo katika vijiji wanakofanyia kazi .”Niwaombe wataalam wangu matendo haya ya kilimo cha kisasa na ufugaji wa kisasa mkayafanyie kazi kwa kuwaelimisha wananchi kwa vitendo ili tukawe na Kilimo chenye tija yasiishie kwenye maonesho tu.” Mwinyikondo ameyasema hayo.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira,Mheshimiwa Malota Kwaga aliwapongeza wajasiriamali wa Halmashauri ya Chalinze kwa jinsi wanavyoitendea haki mikopo inayotolewa na Halmashauri ya Chalinze kwa kuanzisha miradi endelevu na ya kimkakati inayoweza kuwakwamua kutoka hatua moja kwenda nyingine na hatimaye kuweza kuwa na mitaji imara. “ Nawapongeza sana vijana na wanawake mlivyoweza kubuni na kuanzisha miradi bora na endelevu kutokana na asilimia kumi ya mapato ya ndani hakika mtakuwa mabalozi wema kwa kueleza faida za mikopo inayotolewa na Halmashauri kwa vitendo.” Malota alisema.


Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Ismail Msumi aliupongeza uongozi wa Halmashauri ya Chalinze na kupongeza juhudi zinazofanywa na wataalam katika kuelimisha wananchi katika maonesho ya nanenane ili sekta ya Kilimo iweze kuchangia pato la taifa asilimia kumi ifikapo mwaka 2030.” Wataalam mkiyafanya maonesho haya kwa vitendo mahali penu pa kazi ajenda ya 10/30 inawezekana.” Msumi alisema 

wajasiriamali wakiwa na bidhaa zao katika maonesho ya Nanenane Banda la Chalinze 

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA February 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA yatoa Mafunzo ya NeST kwa Watendaji wa Kata na Wakuu wa Shule Chalinze

    May 08, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wapewa Mafunzo ya namna ya kukusanya Kodi ya Majengo Chalinze

    May 07, 2025
  • PPRA yatoa mafunzo ya Ununuzi kwa watumishi wa Afya Chalinze

    May 07, 2025
  • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Ofisi ya Utumishi yakutana na Watumishi wa ajira mpya Chalinze
Video nyingine

Viungio vya haraka

  • Mfumo wa Kiuhasibu wa Kuripoti fedha katika Vituo (FFARS)
  • mfumo wa taarifa wa kiutumishi (ess)
  • RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI 2020/2021
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Jinsi ya Kusajili na kupata namba ya mlipakodi (TIN NAMBA)
  • mfumo wa mrejesho serikalini
  • mfumo wa manunuzi wa umma

Viungio vya tovuni mhimu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Tovuti ya Mkoa
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Baraza la Mitihani la taifa
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Visitors Counter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    114 Morogoro Rd, 61383 Bwilingu

    Anuani ya posta: P O BOX 65 Chalinze

    Simu: +255232935403

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe : ded@chalinzedc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 chalinze district council . All rights reserved.